Wito huo umetolewa na Dk wa Mifugo Manispaa ya Ilala Msongo Sonora jijini Dar es salaam baada ya kufika eneo la Machinjio na kukuta mgawanyiko wa Wafanyabiashara wakigombea damu ya Ngombe na kuwataka wafanye kazi kwa utulivu.
Dk Songoro amewataka Watu wasitumie Mgogoro huo kama sehemu ya kujinufaisha
MISS WORLD CHINA ATEMBELEA HIFADHI YA MAKUYUNI WILDLIFE PARK
-
📍 Akiri kuwa Tanzania imebarikiwa kwa vivutio vya kipekee vya utalii
Na Beatus Maganja, Arusha
Hifadhi ya Makuyuni Wildlife Park, iliyopo takribani ki...
Saa 2 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni