Machinjio ya Vingunguti Wafanyabiashara wa Machinjio hiyo wanatakiwa waache Migogoro

Wito huo umetolewa na Dk wa Mifugo Manispaa ya Ilala  Msongo Sonora  jijini Dar es salaam baada ya kufika eneo la Machinjio na kukuta mgawanyiko wa Wafanyabiashara wakigombea damu ya Ngombe na kuwataka wafanye kazi kwa utulivu.             
Dk Songoro amewataka Watu wasitumie Mgogoro huo kama sehemu ya kujinufaisha

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List