Wito huo umetolewa na Dk wa Mifugo Manispaa ya Ilala Msongo Sonora jijini Dar es salaam baada ya kufika eneo la Machinjio na kukuta mgawanyiko wa Wafanyabiashara wakigombea damu ya Ngombe na kuwataka wafanye kazi kwa utulivu.
Dk Songoro amewataka Watu wasitumie Mgogoro huo kama sehemu ya kujinufaisha
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO
-
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO
Dakika 34 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni