Pongezi hizo zimetolewa baada ya Kufanikiwa kuwaondoa maeneo waliyokuwepo wakifanyia biashara zao. Hivi sasa wametengewa maeneo rasmi ya kufanyia biashara lkatika maeneo ya Kigogo, Tabata, Ukonga na Kivule ambapo wataweza kulipa Kodi na kunufaika pato la taifa.
NIMERIDHISHWA NA MAANDALIZI KUELEKEA KUWASHWA KWA MWENGE WA UHURU - MAJALIWA
-
WaziriMkuuu Kassim Majaliwa amesema ameridhishwa na hatua za maandalizi
kuelekea sherehe za kuwashwa kwa Mwenge wa Uhuru ambao utazunguka katika
Mikoa 31...
Dakika 6 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni