Pongezi hizo zimetolewa baada ya Kufanikiwa kuwaondoa maeneo waliyokuwepo wakifanyia biashara zao. Hivi sasa wametengewa maeneo rasmi ya kufanyia biashara lkatika maeneo ya Kigogo, Tabata, Ukonga na Kivule ambapo wataweza kulipa Kodi na kunufaika pato la taifa.
MKURUGENZI WA MASOKO TTB AELEZA FURSA INAYOWEZA KUPATA TANZANIA KUTOKA
JAPAN KATIKA ELIMU YA UTALII NA UHIFADHI
-
Na Hamis Dambaya
Mkurugenzi wa Masoko wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) bwana Ernest
Mwamwaja ameeleza nia ya serikali ya Tanzania kuboresha elimu ya ut...
Saa 5 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni