Pongezi hizo zimetolewa baada ya Kufanikiwa kuwaondoa maeneo waliyokuwepo wakifanyia biashara zao. Hivi sasa wametengewa maeneo rasmi ya kufanyia biashara lkatika maeneo ya Kigogo, Tabata, Ukonga na Kivule ambapo wataweza kulipa Kodi na kunufaika pato la taifa.
TUMEWEKEZA NGUVU KUBWA KUTANGAZA VIVUTIO VYA TANZANIA NCHI ZA ULAYA -BALOZI
MNDEME
-
Na Hamis Dambaya
Stockholm
Balozi wa Tanzania nchini Sweden mheshimiwa Swahiba Mndeme amesema miongoni
mwa kazi kubwa waliyonayo katika Ubalozi huo ni...
Saa 4 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni