Pongezi hizo zimetolewa baada ya Kufanikiwa kuwaondoa maeneo waliyokuwepo wakifanyia biashara zao. Hivi sasa wametengewa maeneo rasmi ya kufanyia biashara lkatika maeneo ya Kigogo, Tabata, Ukonga na Kivule ambapo wataweza kulipa Kodi na kunufaika pato la taifa.
KAMISHNA WA MADINI AONGOZA KIKAO CHA WATAALAMU WA UTAFITI
-
Kamishna wa Madini, Dkt. AbdulRahman Mwanga, ameongoza kikao muhimu cha
kitaalamu kati ya Wizara ya Madini, Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa
Madini Ta...
Saa 3 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni