Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya Kudhibiti Maambukizi ya Ukimwi, Dkt Fatma Mrisho amesema tatizo la Ukimwi bado ni kubwa kwa Vijana hali inayochangiwa na kufanya ngono zembe. Dkt Fatma amesema katika ukuaji wa tatizo hilo, Vijana wa Kike ndiyo wanaongoza kwa Maambukizi hayo ikilinganishwa na wale wa Kiume. hayo ameyasema wakati wa kufunga Semina ya Vijana kuhusu Ukimwi pamoja na Maambukizi ya VVU. James Kajingwa Mkurugenzi wa Maendeleo ya Vijana nchini amewataka Vijana wajiepushe na Utumiaji wa Ulevi wa kupitiliza unaweza kuchochea tabia ya kufanya ngono zembe na kupelekea Maambukizi ya UVV, pia amewataka Vijana kujitambua sambamba kuwa Mabalozi wa wengine kwa ajili ya kulinda vizazi vijayo kwa kutoa elimu ya mapambano dhidi ya Maambukizi ya VVU
- Blogger Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Inaendeshwa na Blogger.
About Me
Wanaofuata
TANGAZO
My Blog List
-
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masum...Miaka 5 iliyopita
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye kwa sasa anamnowa bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kwa aj...Miaka 5 iliyopita
-
BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...Miaka 5 iliyopita
-
JUMA CHOKI AJIANDAA NA MASHINDANO YA KING OF THE RING JULAI 28 - Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo...Miaka 5 iliyopita
-
0 comments:
Chapisha Maoni