Wananchi Buguruni Malapa wajipanga kukomesha tatizo la Uchafu basi wamehamasishana kuhakikisha suala la Usafi ni la kila mmoja badala ya kuachia Serikali ama chama fulani ili kufanikisha tatizo la Ugonjwa wa Kipindupindu uliopoteza maisha ya wengi Diwani wa Kata ya Ilala Saad Khimji amesema kumekuwepo na tatizo kubwa la baadhi ya Wananchi hususani nyakati za Mvua kufungulia Maji machafu ambayo husambaa katika makazi ya Watu na kusababisha Vinyesi lkutapakaa na kuchangia magonjwa ya milipuko
KIKWETE: SERIKALI KUSAINI MUONGOZO WA KIMA CHA CHINI CHA MSHAHARA KWA SEKTA
BINAFSI
-
Serikali imesema hivi karibuni inatarajia kusaini kuwa Sheria miongozo Wa
kima cha chini Cha mshahara kwa TaasisiI binafsi zinazofanywa kazi nchini.
Ime...
Saa 12 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni