Baada ya vuta nikuvute na kusababisha Machinjio ya Vingunguti kufungwa kwa Mwezi . mmoja hatimaye Mkuu wa Mkoa Dar es salaam Paulo Makonda ameyafungua rasmi kufuatia Mamlaka ya Chakula TFDA kukamilika,.Makonda amewataka Wafanyabiashara kuacha tabia ya kuuza Nyama kiolela na kuwataka kuthamini ubora wa Nyama wanazochinja. Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amesema Machinjio hayo ni ya muda mrefu hivyo kwa sasa Wana Mipango ya kuiboresha zaidi ili iwe ya kisasa na iweze kutoa huduma za Kitaifa na Kimataifa
BALOZI NCHIMBI ASAINI KANUNI ZA MAADILI YA UCHAGUZI MKUU 2025
-
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John
Nchimbi, ameshiriki katika utiaji saini wa Kanuni za Maadili ya Uchaguzi wa
Rais, Wab...
Saa 18 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni