Baada ya vuta nikuvute na kusababisha Machinjio ya Vingunguti kufungwa kwa Mwezi . mmoja hatimaye Mkuu wa Mkoa Dar es salaam Paulo Makonda ameyafungua rasmi kufuatia Mamlaka ya Chakula TFDA kukamilika,.Makonda amewataka Wafanyabiashara kuacha tabia ya kuuza Nyama kiolela na kuwataka kuthamini ubora wa Nyama wanazochinja. Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amesema Machinjio hayo ni ya muda mrefu hivyo kwa sasa Wana Mipango ya kuiboresha zaidi ili iwe ya kisasa na iweze kutoa huduma za Kitaifa na Kimataifa
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni