MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM PAULO MAKONDA AFUNGUA MACHINJIO YA VINGUNGUTI

Baada ya vuta nikuvute na kusababisha Machinjio ya Vingunguti kufungwa kwa Mwezi . mmoja hatimaye Mkuu wa Mkoa Dar es salaam Paulo Makonda ameyafungua rasmi kufuatia Mamlaka ya Chakula TFDA kukamilika,.Makonda amewataka Wafanyabiashara kuacha tabia ya kuuza Nyama kiolela na kuwataka kuthamini ubora wa Nyama wanazochinja. Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amesema Machinjio hayo ni ya muda mrefu hivyo kwa sasa Wana Mipango ya kuiboresha zaidi ili iwe ya kisasa na iweze kutoa huduma za Kitaifa na Kimataifa

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List