Baada ya vuta nikuvute na kusababisha Machinjio ya Vingunguti kufungwa kwa Mwezi . mmoja hatimaye Mkuu wa Mkoa Dar es salaam Paulo Makonda ameyafungua rasmi kufuatia Mamlaka ya Chakula TFDA kukamilika,.Makonda amewataka Wafanyabiashara kuacha tabia ya kuuza Nyama kiolela na kuwataka kuthamini ubora wa Nyama wanazochinja. Mkuu wa Wilaya ya Ilala Raymond Mushi amesema Machinjio hayo ni ya muda mrefu hivyo kwa sasa Wana Mipango ya kuiboresha zaidi ili iwe ya kisasa na iweze kutoa huduma za Kitaifa na Kimataifa
TUMEWEKEZA NGUVU KUBWA KUTANGAZA VIVUTIO VYA TANZANIA NCHI ZA ULAYA -BALOZI
MNDEME
-
Na Hamis Dambaya
Stockholm
Balozi wa Tanzania nchini Sweden mheshimiwa Swahiba Mndeme amesema miongoni
mwa kazi kubwa waliyonayo katika Ubalozi huo ni...
Saa 7 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni