Mkuu wa Wilaya ya Temeke Sophia Mjema na Viongozi mbalimbali wa Vyama vya Siasa akiwepo Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Temeke Sikunjema Yahya
amewataka Jamii nchini wasiudhalau Mwenge wa Uhuru ndio mkombozi wa Tanzania uliowashwa wakati wa Uhuru wa Mtanzania baada ya kutoka mikononi mwa Wakoloni,uliwashwa na Mwasisi wa Tanzania Hayati Mwalimu Julias Kambarage Nyerere Baba wa Taifa pamoja na kuleta Mungano wa Tanganyika na Zanzibar na kupatikana jina la Tanzania
,
𝗥𝗔𝗜𝗦 𝗗𝗞𝗧. 𝗦𝗔𝗠𝗜𝗔 𝗔𝗠𝗨𝗔𝗣𝗜𝗦𝗛𝗔 𝗞𝗔𝗧𝗔𝗠𝗕𝗜 𝗞𝗨𝗪𝗔
𝗪𝗔𝗭𝗜𝗥𝗜 𝗪𝗔 𝗠𝗔𝗠𝗕𝗢 𝗬𝗔 𝗡𝗗𝗔𝗡𝗜
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. 𝗦𝗮𝗺𝗶𝗮 𝗦𝘂𝗹𝘂𝗵𝘂
𝗛𝗮𝘀𝘀𝗮𝗻 akimuapisha Mhe. 𝗣𝗮𝘁𝗿𝗼𝗯𝗮𝘀 𝗞𝗮𝘁𝗮𝗺𝗯𝗶 wa Mambo ya
Ndani...
Saa 19 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni