Mkuu wa Wilaya ya Temeke Sophia Mjema na Viongozi mbalimbali wa Vyama vya Siasa akiwepo Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Temeke Sikunjema Yahya
amewataka Jamii nchini wasiudhalau Mwenge wa Uhuru ndio mkombozi wa Tanzania uliowashwa wakati wa Uhuru wa Mtanzania baada ya kutoka mikononi mwa Wakoloni,uliwashwa na Mwasisi wa Tanzania Hayati Mwalimu Julias Kambarage Nyerere Baba wa Taifa pamoja na kuleta Mungano wa Tanganyika na Zanzibar na kupatikana jina la Tanzania
,
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni