Mkuu wa Wilaya ya Temeke Sophia Mjema na Viongozi mbalimbali wa Vyama vya Siasa akiwepo Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Temeke Sikunjema Yahya
amewataka Jamii nchini wasiudhalau Mwenge wa Uhuru ndio mkombozi wa Tanzania uliowashwa wakati wa Uhuru wa Mtanzania baada ya kutoka mikononi mwa Wakoloni,uliwashwa na Mwasisi wa Tanzania Hayati Mwalimu Julias Kambarage Nyerere Baba wa Taifa pamoja na kuleta Mungano wa Tanganyika na Zanzibar na kupatikana jina la Tanzania
,
BALOZI NCHIMBI: TUSIVURUGWE MIEZI MICHACHE KUELEKEA UCHAGUZI MKUU
-
*Aelekeza RC, Mawaziri wawili kulipa fidia Nyatwali – Bunda
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John
Nchimbi, amewataka Watanz...
Saa 2 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni