Mkuu wa Wilaya ya Temeke Sophia Mjema na Viongozi mbalimbali wa Vyama vya Siasa akiwepo Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Temeke Sikunjema Yahya
amewataka Jamii nchini wasiudhalau Mwenge wa Uhuru ndio mkombozi wa Tanzania uliowashwa wakati wa Uhuru wa Mtanzania baada ya kutoka mikononi mwa Wakoloni,uliwashwa na Mwasisi wa Tanzania Hayati Mwalimu Julias Kambarage Nyerere Baba wa Taifa pamoja na kuleta Mungano wa Tanganyika na Zanzibar na kupatikana jina la Tanzania
,
TUMEWEKEZA NGUVU KUBWA KUTANGAZA VIVUTIO VYA TANZANIA NCHI ZA ULAYA -BALOZI
MNDEME
-
Na Hamis Dambaya
Stockholm
Balozi wa Tanzania nchini Sweden mheshimiwa Swahiba Mndeme amesema miongoni
mwa kazi kubwa waliyonayo katika Ubalozi huo ni...
Saa 8 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni