,Wananchi, Wazazi, na Viongozi wa Shule ya Msingi Mbande wameamuwa kujenga darasa baada ya kunusulika kuangukiwa na Mti baada ya kukatika wakati wakiwa chini ya Mti huo wakiendelea na Masomo Kutokana na Uhaba wa Madarasa. Ujenzi huo utaghalimu milioni 20 Wananchi hao wameamua kuhamasishana kuchangia pia wamewaomba wadau mbalimbali wa maendeleo wajitokeze kuchangia bado kunaupungufu wa Madarasa, Walimu Uzio wa Shule na Upungufu wa tundu za Vyoo
RAIS SAMIA AWASILI KILIMANJARO KUSHIRIKI MAZISHI YA HAYATI MSUYA
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan
akisalimiana na Viongozi mbalimbali wa Chama na Serikali alipowasili katika
Uwanja ...
Saa 23 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni