Ujenzi wa Darasa shule ya Msingi

,Wananchi, Wazazi, na Viongozi wa Shule ya Msingi Mbande wameamuwa kujenga darasa baada ya kunusulika kuangukiwa na Mti baada ya kukatika wakati wakiwa chini ya Mti huo wakiendelea na Masomo Kutokana na Uhaba wa Madarasa. Ujenzi huo utaghalimu milioni 20 Wananchi hao wameamua kuhamasishana kuchangia pia wamewaomba wadau mbalimbali wa maendeleo wajitokeze kuchangia bado kunaupungufu wa Madarasa, Walimu Uzio wa Shule na  Upungufu wa tundu za Vyoo

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List