,Wananchi, Wazazi, na Viongozi wa Shule ya Msingi Mbande wameamuwa kujenga darasa baada ya kunusulika kuangukiwa na Mti baada ya kukatika wakati wakiwa chini ya Mti huo wakiendelea na Masomo Kutokana na Uhaba wa Madarasa. Ujenzi huo utaghalimu milioni 20 Wananchi hao wameamua kuhamasishana kuchangia pia wamewaomba wadau mbalimbali wa maendeleo wajitokeze kuchangia bado kunaupungufu wa Madarasa, Walimu Uzio wa Shule na Upungufu wa tundu za Vyoo
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni