Mbunge huyo wa Jimbo la Temeke Abdallah Mtolea kupitia Chama cha CUF mara baada ya hukumu kutolewa yeye ndiye Mshindi wa nafasi ya Ubunge aliongozana na Wanachama wa chama hicho cha Cuf moja kwa moja katika Ofisi za Wilaya ya Temeke za Chama cha Wananchi Cuf huku wakisherekea
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni