Wananchi wa Kitongoji cha Msimbu kata Msimbu Wilaya ya Kisarawe Mkoa wa Pwani wameiomba Serikali iwasaidie katika Kurudishiwa ardhi ya Kitongoji Eka 161 kuchukuliwa na Mwekezaji wa Machimbo ya Mchanga. Viongozi wa kata hiyo akiwepo Mtendaji wa kata pamoja na Mwenyekiti wa Kitongoji,wote wameonyesha kumtetea Mwekezaji. Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe amewataka Wananchi waache kununua ardhi kiolela hali hiyo imekuwa ikichochea Migogoro ya ardhi nchini
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni