Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiongoza Mkutano wa kuwachangia Wananchi wa Bukoba waliopatwa na Janga la Tetemeko la ardhi lilosababisha baadhi ya watu kupoteza maisha na wengine kujeriwa wamelazwa Hospitali pia na mbalimbali, Nyumba zimebomoka na baadhi ya Shule na kusababisha Wanafunzi kushindwa kwenda shule Kutokana na Majengo kubomoka, michango hiyo imetolewa na Barozi kutoka nchi mbalimbali, Wafanyabiashara Wakubwa na Wadogo pamoja na wadau mbalimbali waliweza kuchangia vitu mbalimbali pamoja na Fedha zaidi ya Bilion Moja imepatikana zinaweza kuwasaidia Wananchi walipatwa na matatizo Bukoba
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni