WATOTO WALELEWE KATIKA MAADILI MEMA

Wazazi nchini wametakiwa kuzaa Idadi ya Watoto watakaoweza kuwamudu katika malezi mema ili kukabiliana na tatizo la watoto wa Mitaani.. Mkuu wa Wilaya ya Ilala Sophia Mjema amebainisha hayo wakati akipokea msaada wa Pampers zilizotolewa katika Hospitali ya Amana Jijini, Dar es salaam ambapo amesema kwa kufanya   hivyo matatizo yanayowakabili muhimu watoto hao  yatapungua. Naye  afisa Habari wa GSM  Foundation Khafan Kiwambawa Amesema Kampuni hiyo imeguswa na changamoto. mbalimbali katika maisha Jamii  hivyo  kuamua kurejesha faida inayopatikana kwa kutoa msaada kwenye sekta Afya  ambayo inayokabiliwa na matatizo mengi.   Dr Shaany Mwaruka Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Amana  wameshukuru msaada Uliotolewa wa Pampers Uliotolewa na Kampuni ya GSM Foundation pia Amewataka wadau mbalimbali wajitokeze kutowa misaada mingine wanaupungufu wa Vifaa Tiba Kwa Wazazi  na Watoto

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List