Wazazi nchini wametakiwa kuzaa Idadi ya Watoto watakaoweza kuwamudu katika malezi mema ili kukabiliana na tatizo la watoto wa Mitaani.. Mkuu wa Wilaya ya Ilala Sophia Mjema amebainisha hayo wakati akipokea msaada wa Pampers zilizotolewa katika Hospitali ya Amana Jijini, Dar es salaam ambapo amesema kwa kufanya hivyo matatizo yanayowakabili muhimu watoto hao yatapungua. Naye afisa Habari wa GSM Foundation Khafan Kiwambawa Amesema Kampuni hiyo imeguswa na changamoto. mbalimbali katika maisha Jamii hivyo kuamua kurejesha faida inayopatikana kwa kutoa msaada kwenye sekta Afya ambayo inayokabiliwa na matatizo mengi. Dr Shaany Mwaruka Kaimu Mganga Mkuu wa Hospitali ya Amana wameshukuru msaada Uliotolewa wa Pampers Uliotolewa na Kampuni ya GSM Foundation pia Amewataka wadau mbalimbali wajitokeze kutowa misaada mingine wanaupungufu wa Vifaa Tiba Kwa Wazazi na Watoto
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni