Watu watatu wanaodaiwa kuuza ardhi katika kata ya Msimbu
wamekamatwa kwa agizo la Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mkoa wa Pwani
Happiness William Seneda huku aliyejifanya Mwenyekiti wa Serikali ya
Kijiji cha Msimbu Mwarami Said Mkali akitafutwa kwa kosa la kugushi
nyaraka za Serikali na kuuza ardhi kwa njia ya udanganyifu. Nyaraka
ambazo zimehusishwa ni pamoja na Bendera ya Taifa, Karatasi zenye nembo
ya Manispaa ya Kisarawe. Mhuri wenye nembo ya Kijiji cha Msimbu na
kufanya mauzo.. Wananchi hao pamoja na jitihada za Mkuu wa Wilaya hiyo
kutatua Mgogoro wa Ardhi kati ya Mwekezaji na Wananchi, upande wa
Wananchi awakulizika. Wananchi wakiongea na Mwandishi wa Mtandao huu
wamesema aiwezekani Mwekezaji pia ni mwana Kijiji awe na eneo kubwa la
Eka 161 ameuziwa na nani. Nao wameonekana wameuziwa kwa njia ya
udanganyifu huku watendaji wa Serikali ya Kijiji hipo jirani na Ofisi
inayotumika kuwadhurumu Wananchi zaidi ya miaka miwili.. Wananchi hao
wamesema wanajiandaa kumuona Waziri Mwenye zamana na ARDHI
Home / gloria media
/ MGOGORO WA ARDHI KISARAWE KATA YA MSIMBU MKUU WA WILAYA HIYO AWAkUTANISHA MWEKEZAJI NA WANANCHI LENGO Ni KUTATUA MGOGORO HUO
- Blogger Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Inaendeshwa na Blogger.
About Me
Wanaofuata
TANGAZO
My Blog List
-
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masum...Miaka 5 iliyopita
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye kwa sasa anamnowa bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kwa aj...Miaka 5 iliyopita
-
BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...Miaka 5 iliyopita
-
JUMA CHOKI AJIANDAA NA MASHINDANO YA KING OF THE RING JULAI 28 - Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo...Miaka 6 iliyopita
-
0 comments:
Chapisha Maoni