Mkuu wa Wilaya ya Ilala Sophia Mjema amemwagiza Mkuu wa Kituo cha Polisi cha Msongola pamoja na Rpc wa Wilaya hiyo kuhakikisha Ulinzi na Usalama unaimarishwa katika maeneo ya Msongola na kutowa Onyo, Serikali haiwezi kufumbia macho akizungumza katika Mkutano wa adhara baada ya Wananchi kutowa kelo zao. Pia amemtaka Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala kuwahamisha Watumishi wa Hospitali ya Mvuti wanaolalamikiwa kutoa Kauli mbaya kwa Wagonjwa katika Hospitali hiyo ya Mvuti
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni