Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva na Makamu Mwenyekiti wa Simba Geofrey Nyange 'Kaburu' wamerudishwa rumande mpaka July 13, 2017.
Mheshimiwa Hakimu Victoria Nongwa wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ya jijini Dar Es Salaam alisema kuwa makosa yao matatu kati ya matano yanayowakabili hayana dhamana kwani yanahusiana na kughushi. Kwa misingi hiyo ya kisheria, Hakimu aliamua watuhumiwa hao waende rumande hadi tarehe 13 Julai kesi hiyo itakapotajwa tena.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni