Rais wa Klabu ya Simba, Evans Aveva na Makamu Mwenyekiti wa Simba Geofrey Nyange 'Kaburu' wamerudishwa rumande mpaka July 13, 2017.
Mheshimiwa Hakimu Victoria Nongwa wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu ya jijini Dar Es Salaam alisema kuwa makosa yao matatu kati ya matano yanayowakabili hayana dhamana kwani yanahusiana na kughushi. Kwa misingi hiyo ya kisheria, Hakimu aliamua watuhumiwa hao waende rumande hadi tarehe 13 Julai kesi hiyo itakapotajwa tena.
BALOZI MUSSA AKAGUA MAJENGO YA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MALAWI.
-
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
ambaye pia ni Mwenyekiti wa kamati ya miradi ya Wizara, Balozi Said Shaib ...
Saa 10 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni