Baraza la kuu la Uongozi la Chama cha wananchi CUF limeiagiza kamati ya maadili na nidhamu kumuhoji katibu mkuu wa chama hicho Maalim Seif Sharif Hamad kwa madai ya kuhusika na njama ya kukihujumu chama hicho.
Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa chama cha CUF Profesa Lipumba katika juhudi zake za kuimarisha chama cha CUF ambapo karibuni kimeonekana kuyumba na kutawaliwa na migogoro. Profesa Lipumba amesema katiba na sheria zilizounda bodi ya wadahamini CUF na halali hivyo kupingana na juhudi hizo ni hujuma dhidi ya Chama cha CUF.
Pia amesema Maalim Seif Sharif Hamad hana uwezo wa kupinga au kufungua kesi dhidi ya bodi ya wadahamini ya Chama cha wananchi CUF.
Mapema chama cha CUF kilichagua bodi ya wadahamini kupitia baraza kuu la Chama hicho na kupishwa na kusajiliwa rasmi. Lakini bodi hiyo ilipingwa vikali na Katibu mkuu wa chama hicho Maalim Seif Sharif Hamad kwa madai inataka kumtoa kwenye nafasi yake na kuwakosesha haki Wana CUF.
- Blogger Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Inaendeshwa na Blogger.
Wanaofuata
TANGAZO
My Blog List
-
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masum...Miaka 5 iliyopita
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye kwa sasa anamnowa bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kwa aj...Miaka 5 iliyopita
-
BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...Miaka 5 iliyopita
-
JUMA CHOKI AJIANDAA NA MASHINDANO YA KING OF THE RING JULAI 28 - Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo...Miaka 6 iliyopita
-
0 comments:
Chapisha Maoni