WANASOKA TUTAKUKUMBUKA BRADLEY LOWERY REST IN PEACE.

TANZIA :
BURIANI BRADLEY, VITA UMEIPIGA
Mtoto Bradley Lowery (6), ambaye amekuwa anateseka kwa ugonjwa wa kansa aina ya neuroblastoma ambao ni nadra tangu akiwa na umri wa miaka miwili, amefariki dunia.
Bradley alifahamika kwa mapenzi yake ya soka na alikuwa akiishabikia sana timu Sunderland na alikuwa rafiki wa karibu sana wa mchezaji Jermaine Bradley.
Familia yake imethibitisha taarifa hii kwa kutoa ujumbe ulisema "Kijana wetu mkakamavu ameenda kuwa na malaika leo.
"Alikuwa shujaa wetu na alipigana sana lakini alihitajika kwingine. Hatuna maneno ya kueleza jinsi tulivyohuzunish
wa na kifo chake."
Kutoka SDM production media tunaungana na wapenda soka duniani kumwomba Mungu kuipumzisha roho ya Bradley Lowrey mahali pema peponi."

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List