Diamond kuwapa Watanzania ‘kitu’ kwa shilingi 300
Baada ya kuingiza sokoni marashi ya ‘Chibu’ kwa shilingi laki moja na nusu, Diamond ameamua kuwapa Watanzania bidhaa ya bei wanayoimudu ya shilingi 300.
Akifunguka jana kupitia The Playlist ya 100.5 Times Fm, Diamond alisema kuwa anaendelea kuunga mkono sera ya Rais John Magufuli ya kuifanya Tanzania kuwa nchi ya viwanda na kwamba wiki hii ataingiza sokoni bidhaa yake hiyo ili kila Mtanzania aweze kuimudu.
“Inaweza kuwa Jumatano… tutaingiza sokoni bidhaa nyingine kwa shilingi 300 tu, hii najua kila Mtanzania ataimudu. Sasa kama mtu atashindwa kununua cha shilingi 300, labda sasa utakuwa unataka bure,” Alisema Chibu Dangote.
Naye meneja wake, Salaam alieleza kuwa Diamond hivi sasa ni kiwanda na ataendelea kufanya muziki huku akiingiza sokoni pia bidhaa mbalimbali.
Angalia hapa sehemu ya mahojiano yake:
- Blogger Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Inaendeshwa na Blogger.
About Me
Wanaofuata
TANGAZO
My Blog List
-
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masum...Miaka 5 iliyopita
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye kwa sasa anamnowa bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kwa aj...Miaka 5 iliyopita
-
BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...Miaka 5 iliyopita
-
JUMA CHOKI AJIANDAA NA MASHINDANO YA KING OF THE RING JULAI 28 - Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo...Miaka 5 iliyopita
-
0 comments:
Chapisha Maoni