Taifa Stars yaonyesha makali Cosafa, Kichuya akifunga mabao mawili
Mshambuliaji Shiza Kichuya jana alikuwa nyota wa mchezo baada ya kuifungia Taifa Stars mabao mawili katika mechi ya ufunguzi wa mashindano ya Cosafa dhidi Malawi nchini Afrika Kusini.
Kichuya alifunga mabao hayo katika dakika ya 13 na 18 huku akitunukiwa zawadi ya mchezaji bora wa mechi hiyo iliyomalizika kwa Stars kuibuka na ushindi wa mabao 2-0.
Kichuya alifunga bao la kwanza akimalizia krosi ya Saimon Msuva wakati bao lake la pili lilitokana na shuti kali alilopiga, akimalizia pasi ya Elias Maguli.
Baada ya ushindi huo, Stars itakabiliana na Angola katika mchezo unaofuata kwenye Kundi A ambao utafanyika Juni 27.
- Blogger Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Inaendeshwa na Blogger.
About Me
Wanaofuata
TANGAZO
My Blog List
-
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masum...Miaka 5 iliyopita
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye kwa sasa anamnowa bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kwa aj...Miaka 5 iliyopita
-
BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...Miaka 5 iliyopita
-
JUMA CHOKI AJIANDAA NA MASHINDANO YA KING OF THE RING JULAI 28 - Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo...Miaka 6 iliyopita
-
0 comments:
Chapisha Maoni