Walter Miya(founder and president, Friends of Children with Cancer Tanzania organization). Amesema wananchi wenye afya njema ndo chachu ya kuleta maendeleo ya uchumi na kijamii. Amesema maisha ya binadamu bira afya nzuri huzolotesha uzalishaji na kufanya kushuka kwa uchumi . Hata hivyo ametowa wito kwa watanzania kubadilika wawe na tamaduni za kupima afya mara kwa mara tangu watoto wadogo wasisubili kupata malazi .pia ameshukuru baadhi ya mashirika waliojitokeza kusaidia baadhi maandalizi ya zoezi hili pamoja na chama cha madktari nchini wakiwepo madaktari bingwa wa watoto. baadhi ya wazazi wamefurahia huduma hiyo na kuomba ziongezwe siku kwa sababu siku moja haitoshi, watoto ni wengi na wanahitaji kuangalia afya. Pia wameiomba serikali washirikiane na taasisi hiyo ambayo kwa kwa muda mrefu imekuwa ikijitolea kutoa huduma za afya kwa watoto bure. pamoja awana uwezo mkubwa wa kidha bali wa taalam wake wamekuwa wakiguswa na shida za watoto huku wazazi wao awanauzo wa kiuchumi.
Home / gloria media
/ Friends of Children with Cancer Tanzania wameendesha zoezi la upimaji afya kwa watoto bure
- Blogger Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Inaendeshwa na Blogger.
About Me
Wanaofuata
TANGAZO
My Blog List
-
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masum...Miaka 5 iliyopita
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye kwa sasa anamnowa bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kwa aj...Miaka 5 iliyopita
-
BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...Miaka 5 iliyopita
-
JUMA CHOKI AJIANDAA NA MASHINDANO YA KING OF THE RING JULAI 28 - Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo...Miaka 6 iliyopita
-
0 comments:
Chapisha Maoni