Vanessa Mdee afunguka kuhusu kupigana chini na Jux
Wale ndege tetere, Vanessa Mdee na Jux waliokuwa wakiruka pamoja kwa mahaba, sasa ni rasmi hawako pamoja tena.
Vee Money amethitisha utengano huo alipofanya mahojiano na kituo cha redio cha Soundcity nchini Nigeria. Alisema kuwa hivi sasa kila mmoja anaendelea na maisha yake.
“Mimi na Jux tulikuwa… ila sio tena na kila mtu ameendelea na maisha yake,” alisema Vanessa.
“Kulikuwa na mambo mengi yaliyokuwa yanaendelea kati yetu, lakini ninafurahi kuwa tumeyapita na kila mmoja amefanikiwa. Yeye [Jux] amefanikiwa na alikuwa na wimbo mpya,” aliongeza.
Wiki hii, Vanessa alikuwa mmoja kati ya watu waliompongeza Jux kwa kuhitimu shahada yake ya masomo ya TEHAMA nchini China. Hivi sasa wanaitana, ‘dada na kaka’.
Wawili hao walianza uhusiano wa mapenzi kwa siri mwaka 2013, kabla ya kuweka mambo hadharani mwaka 2014. Jux aliuweka moyo wake kwa Vannessa baada ya aliyekuwa mpenzi wake, Jackie Cliff kufungwa jela nchini China kwa kosa la kukutwa na dawa za kulevya.
- Blogger Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Inaendeshwa na Blogger.
About Me
Wanaofuata
TANGAZO
My Blog List
-
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masum...Miaka 5 iliyopita
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye kwa sasa anamnowa bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kwa aj...Miaka 5 iliyopita
-
BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...Miaka 5 iliyopita
-
JUMA CHOKI AJIANDAA NA MASHINDANO YA KING OF THE RING JULAI 28 - Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo...Miaka 5 iliyopita
-
0 comments:
Chapisha Maoni