Uteuzi mwengine Leo uliofanywa na Mheshimiwa Raisi Dr.John Pombe Magufuli.

Rais Magufuli amefanya uteuzi kwa kuwateua Bibi. Mary Gasper Makondo kuwa Kamishna wa Ardhi na Bibi Evelyne Mugasha kuwa Mthamini Mkuu wa Serikali .
Aidha, Rais Magufuli amemteua Dkt.
Stephen J. Nindi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi.
Uteuzi huu utaanza July 16, 2017.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List