Rais Magufuli amefanya uteuzi kwa kuwateua Bibi. Mary Gasper Makondo kuwa Kamishna wa Ardhi na Bibi Evelyne Mugasha kuwa Mthamini Mkuu wa Serikali .
Aidha, Rais Magufuli amemteua Dkt.
Stephen J. Nindi kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Mipango ya Matumizi ya Ardhi.
Uteuzi huu utaanza July 16, 2017.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni