Burudani na Michezo inakuza Utalii wa Tanzania

Tanzania imekuwa kivutio kikubwa cha watalii kutoka mataifa mbalimbali hususani maeneo ya Serengeti National Park na Mlima Kilimanjaro.
Msanii maarufu wa Marekani Usher Raymond pamoja na familia yake wapo ziarani nchini Tanzania, na leo wametembelea eneo la hifadhi ya wanyama pori la Serengeti National Park.
Raymond kupitia ukarasa wake wa twitter ameweka picha ikionesha yupo katika hifadhi hiyo wakifurahia mazingira yeye na familia yake.
“So amazing to experience this beauty with my family” ameandika Usher Raymond kwenye kurasa wake wa twitter wakati akiwa katika hifadhi ya taifa ya Serengeti.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List