Katika kupigania na kuhakikisha utekelezaji wa sera na ilani ya Chama cha mapinduzi hususan Tanzania ya Viwanda. Mbunge wa chalinze Mhe Ridhiwani Kikwete amesema "Maendeleo ya Viwanda na uwekezaji yanategemea sana Mazingira Bora yaliyowekwa na Njia sahihi zisizo na mikwamo".Hayo yamesemwa katika Ziara ya Taasisi ya Kibunge inayopambana na Magonjwa ya Milipuko na Malaria katika Kiwanda Cha Vyandarua Cha A To Z-Arusha.
Katika ziara hiyo Mhe Ridhiwani Kikwete alipata nafasi ya kuangalia uzalishaji wa Vyandarua na kujifunza mambo ili kutengeneza fursa katika jimbo lake la Chalinze.
CCM YAONYA WATEULE MIUNDOMBINU ZANZIBAR
-
Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimesema hakitamvumilia mteule yeyote wa Rais
wa Awamu ya Nane, Dkt. Hussein Ali Mwinyi wala taa...
Saa 21 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni