CHALINZE YA VIWANDA

Katika kupigania na kuhakikisha utekelezaji wa sera na ilani ya Chama cha mapinduzi hususan Tanzania ya Viwanda. Mbunge wa chalinze Mhe Ridhiwani Kikwete amesema "Maendeleo ya Viwanda na uwekezaji yanategemea sana Mazingira Bora yaliyowekwa na Njia sahihi zisizo na mikwamo".Hayo yamesemwa katika Ziara ya Taasisi ya Kibunge inayopambana na Magonjwa ya Milipuko na Malaria katika Kiwanda Cha Vyandarua Cha A To Z-Arusha.
Katika ziara hiyo Mhe Ridhiwani Kikwete alipata nafasi ya kuangalia uzalishaji wa Vyandarua na kujifunza mambo ili kutengeneza fursa katika jimbo lake la Chalinze.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List