TAZARA KUBORESHA HUDUMA YA USAFIRI WA TRENI TOKA TANZANIA MPAKA ZAMBIA.

Tazara inatarajia kuboresha huduma zake za usafiri wa treni kati ya Tanzania na Zambia  pamoja na nchi zingine za Africa.

Hayo yamesemwa leo katika mkutano na waandishi wa habari ambapo wamezungumzia utaratibu mpya wa kutoa huduma kwa wananchi wanaonufaika na reli hiyo ya Tazara kwa kuboresha huduma ya treni badala ya kubadilishana vichwa vya treni tunduma na kuingia Zambia,Treni litakua linaingia moja kwa moja hadi Zambia kama vile wanavyofanya  wenzetu nnje kama Maputo na South Africa nk.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List