WAMPONGEZA RAIS DKT JOHN POMBE MAGUFULI KWA KUVUNJA CHAMA KIKUU CHA USHIRIKA CHA KAGERA

Siku chache baada ya Rais dkt Magufuli kuivunja bodi ya chama kikuu cha ushirika cha kagera wadau wameunga mkono  uwamuzi huo na kusema kuwa  wakulima  wa kahawa bukoba wamekuwa wakidhulumiwa haki zao za  msingi katika ushirika huo kwa kukosa uwelewa.
Hayo yamesemwa na mwenyekiti wa chama cha bukoba Ndugu:Felician Muhandiki ambapo wanajiandaa kwa mwakani kununua kahawa tani miatatu akiongea na waandishi wa habari jijini dar es salaam.

Muhandiki amesema kumekuwepo na tatizo la wakulima kutokuwa na uwelewa wa kutosha kuhusu vyama vya ushirika haki zao hali inayotajwa kuendelea kuwanyonya kipindi cha mauzo ya zao
la kahawa. na kuiomba serikali  iwapatie elimu wakulima waweze kupata uwelewa wa kutosha kuhusu ushirika. 

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List