Anayewania nafasi ya ubunge Jimbo la kigamboni Daye safari mafu amerudisha form baada ya kukamilisha zoezi la Kujaza form ya ugombea Ubunge na kukabidhi kwa Katibu Mwenezi wa Wilaya ya Temeke Jiji Dar Es salam
Daye Safari Mafu amesema endapo atafanikiwa kuchaguliwa nafasi ya ubunge katika jimbo hilo hata akikisha anasimamia maendeleo kwa wakazi wa kigamboni yanapatikana kwa kuwaletea huuduma za kijamii kama vile maji,afya,elimu,na kuondoa migogoro ya ardhi
Rutuma mafunu katibu mwenyezi wa wilaya ya temeke amesema chama cha mapinduzi hivi sasa idadi ya watangazania imeongezeka siwa na kukua kwa demokrasia pia amewataka wananchi na makada wa ccm wajitokeze katika uandikishaji wa daftari la kudumu la kupiga kura ambapo muda wa kupiga kura wapate nafasi ya haki yao ya msingi kumchagua kiongozi wampendaye atakayeweza kuwaletea maendeleo.
WAJUMBE WA MKUTANO MKUU WA UWT RUFIJI WAKUBALIANA OKTOBA WANATIKI KWA DKT
SAMIA
-
Mwenyekiti wa UWT wilayani Rufiji Rehema Mlawa ameongoza mkutano Mkuu wa
jumuiya hiyo na kuongoza upigaji wa kura za maoni za kupata Madiwani wa
viti ...
Saa 5 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni