Serikali imesitisha zoezi la uchapaji chapa wanyama baada ya kubaini wafugaji ambao ndio wadau hawana uelewa na zoezi hilo.Hivyo wamepanga kukutana na Wadau wote wa ufugaji na kutoa elimu juu ya zoezi hilo ili watambue faida ya uchapaji chapa.
DKT. KIJAJI ASISITIZA MATUMIZI YA TEKNOLOJIA KATIKA UHIFADHI
-
Na Kassim Nyaki, Karatu.
Waziri wa Maliasili na utalii Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) ameelekeza
taasisi za uhifadhi kuimarisha matumizi ya teknolojia za k...
Saa 6 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni