Watanzania bado wakiwa katika hali ya furaha na matumaini ujio wa rais OBama wa Marekani akiwa katika uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julias Kambarage Nyerere wa kimataifa jiji Dar es salaam akipokelewa na mwenyeji wake Rais wa Jamhuri ya Mungano Mhe Jakaya Mlisho Kikwete
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni