Katibu wa chama cha Baiskeli Kanda ya Ziwa(KAMWASHI), John
Elisha akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mashindano ya Baikeli Kandaya
ya Ziwa yanayojulikana kwa “Safari Bike Race” yanayotarajiwa kufanyika kesho
Mkoani Shinyanga wakati wa kusherehekea sikukuu ya Nane nane.kutoka kulia ni
Mratibu wa mashindano hayo,Peter Zacharia,Meneja matukio Kanda ya Ziwa
TBL,Erick Mwayela,Meneja mauzo Syanyanga TBL,Robert Michae na Mwenyekiti wa
chama hicho, Elisha Elias.
TBN "TUNAISHUKURU WIZARA YA HABARI,UTAMADUNI, ,SANAA NA MICHEZO ""
-
"Tanzania Bloggers Network TBN tunatoa shukrani za dhati kwa Serikali ya
Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania, chini ya uongozi mahiri wa Rais Dkt. Samia ...
Saa 9 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni