MBIO ZA BAISKELI KURINDIMA KESHO MKOANI SHINYANGA




Katibu wa chama cha Baiskeli Kanda ya Ziwa(KAMWASHI), John Elisha akizungumza na waandishi wa habari kuhusu mashindano ya Baikeli Kandaya ya Ziwa yanayojulikana kwa “Safari Bike Race” yanayotarajiwa kufanyika kesho Mkoani Shinyanga wakati wa kusherehekea sikukuu ya Nane nane.kutoka kulia ni Mratibu wa mashindano hayo,Peter Zacharia,Meneja matukio Kanda ya Ziwa TBL,Erick Mwayela,Meneja mauzo Syanyanga TBL,Robert Michae na Mwenyekiti wa chama hicho, Elisha Elias.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List