KAMPUNI YA CDS YAFANYA SHEREHE YA KUTIMIZA MIAKA 10 TANGU KUANZISHWA


 Meneja Mkuu wa CDS, Juma Uledi akikabidhi cheti cha shukrani kwa mfanyakazi wa kampuni hiyo, Joseph Kiango, Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni hiyo, Alhaj Masoud Wannani na Meneja Utawala, Ruth Uledi.
 Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya CDS, Alhaj Masoud Wannani akikabidhi cheti cha shukrani kwa mfanyakazi wa kampuni hiyo, Twaha Koga.
 Meneja Mkuu wa kampuni ya CDS, Juma Uledi akikabidhi zawadi ya utambuzi wa mchango wa kazi kwa Meneja Utawala wa kampuni hiyo, Ruth Uledi. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa CDS, Alhaj Masoud Wannani.
 Meneja Mkuu wa CDS, Juma Uledi akimkabidhi zawadi ya mfanyakazi bora kwa Joseph Kiango (kulia) wakati wa sherehe za kutimiza miaka 10 ya kampuni hiyo, Dar es Salaam jana. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa CDS, Alhaj Masoud Wannani.
 Mkurugenzi Mtendaji wa CDS, Alhaj Masoud Wannani na Meneja Mkuu, Juma Uledi wakiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wa kampuni hiyo waliofanya vizuri wakati wa sherehe za kutimiza miaka 10 ya kampuni hiyo, Dar es Salaam.
 Mke wa Mkurugenzi Mtendaji wa CDS akikata keki huku Mkurugenzi huyo, Alhaj Masoud Wannani na Meneja Utawala, Ruth Uledi (kulia) wakishuhudia wakati wa sherehe za kutimiza miaka 10 ya kampuni hiyo, Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mtendaji wa CDS, Alhaj Masoud Wanani akilishwa keki na mkewe.
 Mkurugenzi Mtendaji wa CDS, Alhaj Masoud Wannani (katikati) akilishwa keki na Meneja Mkuu, Juma Uledi na Meneja Utawala, Ruth Uledi, wakati wa sherehe za kutimiza miaka 10 ya kampuni hiyo, Dar es Salaam jana usiku.
  Picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi waanzilishi wa kampuni hiyo.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List