Mwenyekiti wa Chama
cha Democrasia DP,Mchungaji Chritoper
Mtikila ameeleza nia yake kuwafikisha Mahakamani Wagombea Urais kwa tiketi ya
CCM,Dr John Magufuli na mgombea kupitia
CHADEMA Edward Lowassa kwa madai ya
kuhusika na kashifa mbalimbali za Ufisadi na Rushwa nchini kwa nyakati tofauti
Pamoja na kuwafungulia mashtaka ,Mtikila anasema wagombea
hao hawawezi kusimama mbele ya Watanzania na kuomba ridhaa ya kuchaguliwa kuwa
Rais kwa kuwa wamepungukiwa sifa za kuwania kiti hicho.
Mchungaji Mtikila aliwahi kufungua kesi za kikatiba ambazo
ni pamoja na kutaka Wagombea binafsi kurusiwa katika uchaguzi mkuu na Vyama vya
Siasa kuruhusiwa kufanya mikutano bila kuomba kibali kutoka kwa mkuu wa Wilaya
na Polisi
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments:
Chapisha Maoni