Jaji Damian Lubuva Mwenyekiti wa tume ya uchaguzi NEC akizungumza na wandishi wa habar Dar es salaam |
Tume ya Taifa Uchaguzi
NEC Iimeongeza siku nne za kujiandikisha katika Daftari la kudumu
la wapiga kura kwa Mkoa wa Dar Es Salaam ili kutoa furaa kwa wakazi ambao
walikuwa hawajiandikisha kufanya hivyo wajitokeza kwenye maeneo yao
wanaishi wafike katika vituo hivyo wajiandikishe
Kuongezwa kwa muda huo kunatokana na changamoto
zilizojitokeza wakati wa zoezi hilo ikiwa ni pamoja na kuharibika kwa Mashine
za kuandikisha na uhaba wa Vifaa hali iliyofanya wengi kutojiandikisha kwa wakati
Hadi jumatano hii idadi ya Watanzania waliojiandikisha
katika Daftari la kudumu la wapiga kura walifikia milioni 18.8 huku mkoa wa Dar
Es Salam ukiwa umeandikisha watu milioni 1.7.kati ya wakazi milioni 2.8
waliokadiriwa kuandikishwa.
0 comments:
Chapisha Maoni