Wafanya biashara wadogowadogo maarufu kwa jina la
Wamachinga wameiyomba Serikali iwapatie eneo rasmi la kufanyia biashara
zao ,Wamachinga hao wanaongea Baada ya kuondolewa katika eneo walilopewa
eneo la jagwani ,Hali hiyo yakuondolewa Jangwani imewafanya kukosa
amani
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni