Mwenyekiti Bodi ya Wakurugenzi Yono Auction Mart LTD Stanley Kovela amewataka wafanyakazi wa Yono wawe wahaminifu katika kazi ya Ukusanyaji wa Kodi za Serikali kwakuwa wameaminiwa wanahitaji uwadilifu, wafanye kazi kwa kufata imani na kumtanguliza Mwenyezi Mungu mbele hili wafanikiwe kiutendaji
BALOZI MUSSA AKAGUA MAJENGO YA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MALAWI.
-
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
ambaye pia ni Mwenyekiti wa kamati ya miradi ya Wizara, Balozi Said Shaib ...
Saa 11 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni