Mwenyekiti Bodi ya Wakurugenzi Yono Auction Mart LTD Stanley Kovela amewataka wafanyakazi wa Yono wawe wahaminifu katika kazi ya Ukusanyaji wa Kodi za Serikali kwakuwa wameaminiwa wanahitaji uwadilifu, wafanye kazi kwa kufata imani na kumtanguliza Mwenyezi Mungu mbele hili wafanikiwe kiutendaji
WAJUMBE WA MKUTANO MKUU WA UWT RUFIJI WAKUBALIANA OKTOBA WANATIKI KWA DKT
SAMIA
-
Mwenyekiti wa UWT wilayani Rufiji Rehema Mlawa ameongoza mkutano Mkuu wa
jumuiya hiyo na kuongoza upigaji wa kura za maoni za kupata Madiwani wa
viti ...
Saa 13 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni