Mwenyekiti Bodi ya Wakurugenzi Yono Auction Mart LTD Stanley Kovela amewataka wafanyakazi wa Yono wawe wahaminifu katika kazi ya Ukusanyaji wa Kodi za Serikali kwakuwa wameaminiwa wanahitaji uwadilifu, wafanye kazi kwa kufata imani na kumtanguliza Mwenyezi Mungu mbele hili wafanikiwe kiutendaji
BALOZI MATINYI AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA BIASHARA KATI
YA NCHI ZA NORDIC NA AFRIKA JIJINI OSLO
-
Balozi Mobhare Matinyi akizungumza na Mwakilishi wa kampuni ya nishati ya
CAMBI ya Norway barani Afrika, Gary Brown, jijini Oslo, pembezoni mwa
Mkutano ...
Saa 7 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni