Mamlaka hiyo ya Usafirishaji Abiria na Mizigo hivi sasa wako katika wakati mgumu wa kutowa huduma Kutokana na uchakavu wa Vifaa miundombinu ya Mabehewa na Reli hali hiyo imechangia kuchuka kwa kubeba tan za MIzigo
Hali hiyo imechangia kuchuka kwa Uchumi. Hata hivyo Mazingira ya barabara ya Reli ya Tazara yamekuwa machafu wananchi wamekuwa wakitupa takataka Mwandishi wa Mtandao huu ulitafuta uongozi wa Tazara na kutaka kujua wanamtazamo gani na suala la usafi katika maeneo yao ya Barabara ya Reli. Wamesema kuyumba kwa Uchumi wa Mamlaka hiyo wanashindwa kuajiri Walinzi wa kulinda miundombinu ya Tazara. Wamesema watalifanyia kazi usafi wa Mazingira kwa maeneo yote yenye uchafu kwa kushirikiana na Wananchi pamoja na Wenyeviti wa Serikali za Mitaa kuondowa takataka
- Blogger Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Inaendeshwa na Blogger.
About Me
Wanaofuata
TANGAZO
My Blog List
-
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masum...Miaka 5 iliyopita
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye kwa sasa anamnowa bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kwa aj...Miaka 5 iliyopita
-
BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...Miaka 5 iliyopita
-
JUMA CHOKI AJIANDAA NA MASHINDANO YA KING OF THE RING JULAI 28 - Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo...Miaka 6 iliyopita
-
0 comments:
Chapisha Maoni