Mamlaka hiyo ya Usafirishaji Abiria na Mizigo hivi sasa wako katika wakati mgumu wa kutowa huduma Kutokana na uchakavu wa Vifaa miundombinu ya Mabehewa na Reli hali hiyo imechangia kuchuka kwa kubeba tan za MIzigo
Hali hiyo imechangia kuchuka kwa Uchumi. Hata hivyo Mazingira ya barabara ya Reli ya Tazara yamekuwa machafu wananchi wamekuwa wakitupa takataka Mwandishi wa Mtandao huu ulitafuta uongozi wa Tazara na kutaka kujua wanamtazamo gani na suala la usafi katika maeneo yao ya Barabara ya Reli. Wamesema kuyumba kwa Uchumi wa Mamlaka hiyo wanashindwa kuajiri Walinzi wa kulinda miundombinu ya Tazara. Wamesema watalifanyia kazi usafi wa Mazingira kwa maeneo yote yenye uchafu kwa kushirikiana na Wananchi pamoja na Wenyeviti wa Serikali za Mitaa kuondowa takataka
BALOZI MATINYI AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA BIASHARA KATI
YA NCHI ZA NORDIC NA AFRIKA JIJINI OSLO
-
Balozi Mobhare Matinyi akizungumza na Mwakilishi wa kampuni ya nishati ya
CAMBI ya Norway barani Afrika, Gary Brown, jijini Oslo, pembezoni mwa
Mkutano ...
Saa 5 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni