Wafanyakazi hao wakiongea na Mwandishi wa Mtandao huu wamesema Mwajiri wao amekuwa akiwanyanyasa na kuwafukuza kazi mara kwa mara bila kufata sheria. Hata hivyo wamekuwa wakiwatumia Jeshi la Polisi kuwatawanyisha kwa Mabomu pia wakiwa wameshika Silaha za Moto jambo hilo limekuwa likiwasikitisha kwa kuwa sio wahalifu wanadai haki, zao. Wameiomba Serikali kuwasaidia kulitatua tatizo hilo. Mwajiri wa Dege eco Village amekataa kutoa Ushirikiano kujibu malalamiko ya Wafanyakazi wao
BALOZI MATINYI AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA BIASHARA KATI
YA NCHI ZA NORDIC NA AFRIKA JIJINI OSLO
-
Balozi Mobhare Matinyi akizungumza na Mwakilishi wa kampuni ya nishati ya
CAMBI ya Norway barani Afrika, Gary Brown, jijini Oslo, pembezoni mwa
Mkutano ...
Saa 3 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni