WAFANYAKAZI WA DEGE ECO VILLAGE KIGAMBONI WAFUKUZWA KAZI NA MWAJIRI

Wafanyakazi hao wakiongea na Mwandishi wa Mtandao huu wamesema Mwajiri wao amekuwa akiwanyanyasa na kuwafukuza kazi mara kwa mara bila kufata sheria. Hata hivyo wamekuwa wakiwatumia Jeshi la Polisi kuwatawanyisha kwa Mabomu pia wakiwa wameshika Silaha za Moto jambo hilo limekuwa likiwasikitisha kwa kuwa sio wahalifu wanadai haki, zao. Wameiomba Serikali kuwasaidia kulitatua tatizo hilo. Mwajiri wa Dege eco Village amekataa kutoa Ushirikiano kujibu malalamiko ya Wafanyakazi wao

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List