Wafanyakazi hao wakiongea na Mwandishi wa Mtandao huu wamesema Mwajiri wao amekuwa akiwanyanyasa na kuwafukuza kazi mara kwa mara bila kufata sheria. Hata hivyo wamekuwa wakiwatumia Jeshi la Polisi kuwatawanyisha kwa Mabomu pia wakiwa wameshika Silaha za Moto jambo hilo limekuwa likiwasikitisha kwa kuwa sio wahalifu wanadai haki, zao. Wameiomba Serikali kuwasaidia kulitatua tatizo hilo. Mwajiri wa Dege eco Village amekataa kutoa Ushirikiano kujibu malalamiko ya Wafanyakazi wao
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni