Wafanyakazi hao wakiongea na Mwandishi wa Mtandao huu wamesema Mwajiri wao amekuwa akiwanyanyasa na kuwafukuza kazi mara kwa mara bila kufata sheria. Hata hivyo wamekuwa wakiwatumia Jeshi la Polisi kuwatawanyisha kwa Mabomu pia wakiwa wameshika Silaha za Moto jambo hilo limekuwa likiwasikitisha kwa kuwa sio wahalifu wanadai haki, zao. Wameiomba Serikali kuwasaidia kulitatua tatizo hilo. Mwajiri wa Dege eco Village amekataa kutoa Ushirikiano kujibu malalamiko ya Wafanyakazi wao
BALOZI MUSSA AKAGUA MAJENGO YA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MALAWI.
-
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
ambaye pia ni Mwenyekiti wa kamati ya miradi ya Wizara, Balozi Said Shaib ...
Saa 5 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni