Mkurugenzi wa Mtandao wa SDM Production Media Gloria Matola ametemberea Kijiji cha Makocho Chalinze Wilaya ya Bagamoyo Mkoa Pwani ameonana na baadhi ya wakulima wadogo wamesema bado ni kitendawili kwao kupata maendeleo kuondokana na hali ya Umaskini kwa kuwa bado wanatumia Jembe la Mkono, awana Mbegu bora pia ulima awatumii mbolea kutokana na ukosefu wa fedha za kununulia Mbolea hali hiyo inachangia kwa wakulima wadogo wadogo kuendelea kuwa Masikini wa Kipato
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni