KILIMOKILIMO

Mkurugenzi wa Mtandao wa SDM Production Media Gloria Matola ametemberea Kijiji cha Makocho Chalinze Wilaya ya Bagamoyo Mkoa Pwani ameonana na baadhi ya wakulima wadogo wamesema bado ni kitendawili kwao kupata maendeleo kuondokana na hali ya Umaskini kwa kuwa bado wanatumia Jembe la Mkono, awana Mbegu bora pia ulima awatumii mbolea kutokana na ukosefu wa  fedha za kununulia Mbolea hali hiyo inachangia kwa wakulima wadogo wadogo kuendelea kuwa Masikini wa Kipato

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List