Kanisa la Ufunuo Tanzania lililopo jijini Dar es salaam wamefanya Ibada maalum ya kuiombea Taifa ili liwe katika hali ya Amani na utulivu Usalama kwa maendeleo ya taifa na jamii kwa ujumla. Ibada hiyo ikiongozwa na Nabii Paulo Bendera Kanisa la Ufunuo Tanzania iliwaombea viongozi wa ngazi mbalimbali ikiwepo wa wilaya, Wakuu wa Mkoa, Wabunge. Mawaziri
, Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli waweze kufanya kazi za kuwahudumia wananchi kwa Usalama wa taifa
BALOZI MATINYI AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA BIASHARA KATI
YA NCHI ZA NORDIC NA AFRIKA JIJINI OSLO
-
Balozi Mobhare Matinyi akizungumza na Mwakilishi wa kampuni ya nishati ya
CAMBI ya Norway barani Afrika, Gary Brown, jijini Oslo, pembezoni mwa
Mkutano ...
Saa 9 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni