Kanisa la Ufunuo Tanzania lililopo jijini Dar es salaam wamefanya Ibada maalum ya kuiombea Taifa ili liwe katika hali ya Amani na utulivu Usalama kwa maendeleo ya taifa na jamii kwa ujumla. Ibada hiyo ikiongozwa na Nabii Paulo Bendera Kanisa la Ufunuo Tanzania iliwaombea viongozi wa ngazi mbalimbali ikiwepo wa wilaya, Wakuu wa Mkoa, Wabunge. Mawaziri
, Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli waweze kufanya kazi za kuwahudumia wananchi kwa Usalama wa taifa
WAJUMBE WA MKUTANO MKUU WA UWT RUFIJI WAKUBALIANA OKTOBA WANATIKI KWA DKT
SAMIA
-
Mwenyekiti wa UWT wilayani Rufiji Rehema Mlawa ameongoza mkutano Mkuu wa
jumuiya hiyo na kuongoza upigaji wa kura za maoni za kupata Madiwani wa
viti ...
Saa 3 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni