MAOMBEZI YA KUOMBEA TAIFA

Kanisa la Ufunuo Tanzania lililopo jijini Dar es salaam wamefanya Ibada maalum ya kuiombea Taifa ili liwe katika hali ya Amani na utulivu Usalama kwa maendeleo ya taifa na jamii kwa ujumla. Ibada hiyo ikiongozwa na Nabii Paulo Bendera Kanisa la Ufunuo Tanzania iliwaombea viongozi wa ngazi mbalimbali ikiwepo wa wilaya, Wakuu wa Mkoa, Wabunge. Mawaziri
, Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli waweze kufanya kazi za kuwahudumia wananchi kwa Usalama wa taifa

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List