Waathirika wa dawa za Kulevya waliopata nafuu baada ya kupata Matibabu katika nyumba ya kutoa huduma iliyopo Kigamboni Vijibweni Soba House. Wameiomba Serikali kuwasaidia shughuli, za kufanya baada ya kupata nafuu au kuangalia mitaji kwa kuwa fedha zinazotoka kwenye Halmashauri Mkurugenzi wa Soba hiyo Nuru Sarehe ameiomba Serikali kuwasaidia ili waweze kurudi katika nguvu kazi za kujenga taifa
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO
-
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO
Saa 4 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni