Waathirika wa dawa za Kulevya waliopata nafuu baada ya kupata Matibabu katika nyumba ya kutoa huduma iliyopo Kigamboni Vijibweni Soba House. Wameiomba Serikali kuwasaidia shughuli, za kufanya baada ya kupata nafuu au kuangalia mitaji kwa kuwa fedha zinazotoka kwenye Halmashauri Mkurugenzi wa Soba hiyo Nuru Sarehe ameiomba Serikali kuwasaidia ili waweze kurudi katika nguvu kazi za kujenga taifa
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni