Waathirika wa Dawa za Kulevya waliopata nafuu baada ya kuacha kutumia

Waathirika wa dawa za Kulevya waliopata nafuu baada ya kupata Matibabu katika nyumba ya kutoa huduma iliyopo Kigamboni Vijibweni Soba House. Wameiomba Serikali kuwasaidia shughuli, za kufanya baada ya kupata nafuu au kuangalia mitaji kwa kuwa fedha zinazotoka kwenye Halmashauri Mkurugenzi wa Soba hiyo Nuru  Sarehe ameiomba Serikali kuwasaidia ili waweze kurudi katika nguvu kazi za kujenga taifa

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List