Wadau wa Michezo Nchini wameadhimisha miaka 52 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa kufanya mazoezi ya Viungo vya Mwili. Mazoezi hayo yameandaliwa na Manispaa ya Temeke kwa kushirikiana na Wadau mbalimbali wa Michezo kutoka Manispaa hiyo na,wamezialika timu mbalimbali ikiwemo Namanga Jogging Club ya Kinondoni. Mussa Mtulia ni Mwenyekiti wa timu Smart Member ya Temeke anasema wakiwa wadau wa Michezo nchini wameamua siku ya Muungano kusherekea kwa kufanya mazoezi. Watanzania katika maeneo mbalimbali nchini wameadhimisha miaka 52 ya Muungano kwa kufanya michezo na mazoezi
KAMISHNA WA MADINI AONGOZA KIKAO CHA WATAALAMU WA UTAFITI
-
Kamishna wa Madini, Dkt. AbdulRahman Mwanga, ameongoza kikao muhimu cha
kitaalamu kati ya Wizara ya Madini, Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa
Madini Ta...
Saa 11 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni