Wadau wa Michezo Nchini wameadhimisha miaka 52 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar kwa kufanya mazoezi ya Viungo vya Mwili. Mazoezi hayo yameandaliwa na Manispaa ya Temeke kwa kushirikiana na Wadau mbalimbali wa Michezo kutoka Manispaa hiyo na,wamezialika timu mbalimbali ikiwemo Namanga Jogging Club ya Kinondoni. Mussa Mtulia ni Mwenyekiti wa timu Smart Member ya Temeke anasema wakiwa wadau wa Michezo nchini wameamua siku ya Muungano kusherekea kwa kufanya mazoezi. Watanzania katika maeneo mbalimbali nchini wameadhimisha miaka 52 ya Muungano kwa kufanya michezo na mazoezi
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni