UTAFITI CHUO KIKUU DUCE

Serikali nchini  inaweza  Kufanikiwa katika maendeleo ya Viwanda mbalimbali na kuboresha maisha ya Jamii kiuchumi kwa kufanya kazi za tafiti ambapo  Chuo Kikuu cha Dar es salaam DUCE kinaweza Kusaidia harakati za Serikali kwa kutoa Mafunzo ya Tafiti hizo.   Dr Methed Samual Mratibu wa Elimu  ya Uzamili na Utafiti akiongea na Mwandishi wa Mtandao huu Sdm Production Media amesema hipo haja ya kupata Wataalam wa ndani nchini wa Tafiti watakao pata elimu ya Tafiti katika Chuo Kikuu cha DUCE Jijini Dar es salaam ili waweze kuboresha maendeleo ya Viwanda                      Baadhi ya Wahadhiri  wa Utafiti kutoka Chuo Kikuu cha Dar es salaam DUCE  wakielezea tafiti, zao walizozifanya Dr David Kacholi, Dr Amani Lusekelo, Ms Dorothea Fumpuni.    Serikali ya awamu ya Tano ya Rais John Pombe Magufuli imejipanga kuinua uchumi wa taifa kwa kufufua Viwanda vilivyo telekezwa pamoja na kuboresha.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List