Wafanyakazi Hewa Temeke Mkuu wa Wilaya hiyo Sophia Mjema akiwa Katika zoezi la kuhakiki

Wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam imeamua kuhakiki upya Idadi ya Wafanyakazi Hewa baada ya kuona Idadi iliyopatikana hailingani na Watumishi waliokuwepo Wilaya ni humo. Ambapo Taarifa za awali kuhusu Watumishi hewa katika Wilaya hiyo zinaoenesha jumla ya Wafanyakazi 13 ndiyo watumishi hewa.            zoezi la Uhakiki Temeke linafanyika kwa siku Tano                                                            Sophia Mjema Mkuu  wa Wilaya ya Temeke ameamua kuhakiki upya Idadi ya  Watumishi hewa katika Wilaya hiyo ilikupata uhakika zaidi ya Idadi kamili ya Wafanyakazi katika Wilaya hiyo.                                 Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke Photidas  Kagimbo  amesema Serikali imekuwa ikipoteza Pesa nyingi kwa kuwalipa Watumishi hewa hali hiyo imechangia kurudisha nyuma maendeleo ya taifa               . Serikali ya awamu ya Tano imekuwa ikifatilia wafanyakazi hewa hili kuokoa Pesa za Serikali zinazopotea kwa kuwalipa Watumishi hewa . nchini

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List