Wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam imeamua kuhakiki upya Idadi ya Wafanyakazi Hewa baada ya kuona Idadi iliyopatikana hailingani na Watumishi waliokuwepo Wilaya ni humo. Ambapo Taarifa za awali kuhusu Watumishi hewa katika Wilaya hiyo zinaoenesha jumla ya Wafanyakazi 13 ndiyo watumishi hewa. zoezi la Uhakiki Temeke linafanyika kwa siku Tano Sophia Mjema Mkuu wa Wilaya ya Temeke ameamua kuhakiki upya Idadi ya Watumishi hewa katika Wilaya hiyo ilikupata uhakika zaidi ya Idadi kamili ya Wafanyakazi katika Wilaya hiyo. Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke Photidas Kagimbo amesema Serikali imekuwa ikipoteza Pesa nyingi kwa kuwalipa Watumishi hewa hali hiyo imechangia kurudisha nyuma maendeleo ya taifa . Serikali ya awamu ya Tano imekuwa ikifatilia wafanyakazi hewa hili kuokoa Pesa za Serikali zinazopotea kwa kuwalipa Watumishi hewa . nchini
Home / Uncategories / Wafanyakazi Hewa Temeke Mkuu wa Wilaya hiyo Sophia Mjema akiwa Katika zoezi la kuhakiki
- Blogger Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Inaendeshwa na Blogger.
About Me
Wanaofuata
TANGAZO
My Blog List
-
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masum...Miaka 5 iliyopita
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye kwa sasa anamnowa bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kwa aj...Miaka 5 iliyopita
-
BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...Miaka 5 iliyopita
-
JUMA CHOKI AJIANDAA NA MASHINDANO YA KING OF THE RING JULAI 28 - Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo...Miaka 6 iliyopita
-
0 comments:
Chapisha Maoni