Wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam imeamua kuhakiki upya Idadi ya Wafanyakazi Hewa baada ya kuona Idadi iliyopatikana hailingani na Watumishi waliokuwepo Wilaya ni humo. Ambapo Taarifa za awali kuhusu Watumishi hewa katika Wilaya hiyo zinaoenesha jumla ya Wafanyakazi 13 ndiyo watumishi hewa. zoezi la Uhakiki Temeke linafanyika kwa siku Tano Sophia Mjema Mkuu wa Wilaya ya Temeke ameamua kuhakiki upya Idadi ya Watumishi hewa katika Wilaya hiyo ilikupata uhakika zaidi ya Idadi kamili ya Wafanyakazi katika Wilaya hiyo. Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke Photidas Kagimbo amesema Serikali imekuwa ikipoteza Pesa nyingi kwa kuwalipa Watumishi hewa hali hiyo imechangia kurudisha nyuma maendeleo ya taifa . Serikali ya awamu ya Tano imekuwa ikifatilia wafanyakazi hewa hili kuokoa Pesa za Serikali zinazopotea kwa kuwalipa Watumishi hewa . nchini
TUME YA TOA KIBALI KWA ASASI 256 KUFANYA KAZI WAKATI WA UCHAGUZI MKUU 2025
-
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetoa vibali vya kutoa elimu ya
mpiga kura wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 kwa t...
Saa 9 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni