Chama cha ADC kimepinga agizo la MSAJILI Wa Vyama vya Siasa la kuitaka bodi ya Wadhamini kutengua uamuzi wa kumsimamisha Mwenyekiti wa chama hicho Said Miradi kwa madai ya kukiuka baadhi ya taratibu za katika. Hasani Mohamed Doyo Naibu Katibu Mkuu wa ADC anatoa wito kwa Mwajili wa Vyama vya Siasa kuhusu taratibu za kuwasilisha malalamiko ya Chama ambapo anadai Msajili huyo amekurupuka katika kutoa agizo hilo
KAMISHNA WA MADINI AONGOZA KIKAO CHA WATAALAMU WA UTAFITI
-
Kamishna wa Madini, Dkt. AbdulRahman Mwanga, ameongoza kikao muhimu cha
kitaalamu kati ya Wizara ya Madini, Taasisi ya Jiolojia na Utafiti wa
Madini Ta...
Saa 6 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni