Chama cha ADC kimepinga agizo la MSAJILI Wa Vyama vya Siasa la kuitaka bodi ya Wadhamini kutengua uamuzi wa kumsimamisha Mwenyekiti wa chama hicho Said Miradi kwa madai ya kukiuka baadhi ya taratibu za katika. Hasani Mohamed Doyo Naibu Katibu Mkuu wa ADC anatoa wito kwa Mwajili wa Vyama vya Siasa kuhusu taratibu za kuwasilisha malalamiko ya Chama ambapo anadai Msajili huyo amekurupuka katika kutoa agizo hilo
RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN ATOA MKONO WA EID KWA WENYE UHITAJI DODOMA
-
Mkuu Mkoa wa Dodoma Mhe. Rosemary S. Senyamule Machi 30,2025 amekabidhi kwa
niaba ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Daktari Samia
Suh...
Saa 16 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni