Chama cha ADC kimepinga agizo la MSAJILI Wa Vyama vya Siasa la kuitaka bodi ya Wadhamini kutengua uamuzi wa kumsimamisha Mwenyekiti wa chama hicho Said Miradi kwa madai ya kukiuka baadhi ya taratibu za katika. Hasani Mohamed Doyo Naibu Katibu Mkuu wa ADC anatoa wito kwa Mwajili wa Vyama vya Siasa kuhusu taratibu za kuwasilisha malalamiko ya Chama ambapo anadai Msajili huyo amekurupuka katika kutoa agizo hilo
SHIRIKA LA HALI YA HEWA DUNIANI KUENDELEA KUUNGA MKONO JITIHADA ZA TANZANIA
KUKABILIANA NA MAAFA
-
Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, na Uratibu) Dkt. Jim Yonazi
akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Hali ya Hewa Duniani Bi.
Cele...
Saa 10 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni