Chama cha ADC kimepinga agizo la MSAJILI Wa Vyama vya Siasa la kuitaka bodi ya Wadhamini kutengua uamuzi wa kumsimamisha Mwenyekiti wa chama hicho Said Miradi kwa madai ya kukiuka baadhi ya taratibu za katika. Hasani Mohamed Doyo Naibu Katibu Mkuu wa ADC anatoa wito kwa Mwajili wa Vyama vya Siasa kuhusu taratibu za kuwasilisha malalamiko ya Chama ambapo anadai Msajili huyo amekurupuka katika kutoa agizo hilo
NCAA YAALIKA WANAWAKE KUTALII NGORONGORO KUELEKEA MAADHIMISHO YA SIKU YA
WANAWAKE DUNIANI
-
Kassim Nyaki, Arusha.
Katika kuelekea maadhimisho ya siku ya wanawake duniani tarehe 8 machi,
2025 Mamlaka ya hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) kwa kushirikian...
Saa 10 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni