CCM YAPATA MATUMAINI YA KUFUFUKA KWA UCHUMI ILALA

Sababu za kushindwa kuendelea kwa miradi ya Chama cha Mapinduzi Ccm imetajwa kuwa baadhi ya Viongozi wasio waaminifu  ujinufaisha binafsi, vikao vya muda mrefu vinavyokosa uamuzi. Katibu wa CCM Wilaya ya Ilala Kafuge Joel amesema Imani ndani ya chama huenda ikarejea katika mabadiliko ya Uchumi Kutokana na kati ya Utendaji wa Rais wa awamu ya Tano Dk John Pombe Magufuri anayetarajiwa kuwa Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Ccm hivi karibuni. Nao baadhi ya Viongozi katika Mkutano huo Mkuu wa Wilaya ya Ilala uliolenga na kujadili maendeleo na changamoto na kuwataka wanachama wa CCM kumaliza tofauti za makundi yanayosababisha kusomeka  kwa Chama wakati wa Uchaguzi Mkuu 2015

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List