MAADILI MEMA WATOTO

Serikali imeshauriwa kuanza kuvifuatilia kwa ukaribu na vituo vya Watoto Yatima na vile vya kulelea wanaoishi katika Mazingira magumu kwa madai kuwa msingi ya haki na maadili  mema imekuwa ikikiukwa na baadhi ya walezi na wamiliki wa vituo hivyo. Akizumza wakati wa Tamasha la kuchangia watoto wenye mahitaji maalumu  wa Shirika lisilo la Kiserikali la WDF, Baba Askofu  Nabii Paulo Bendera wa Kanisa la Ufunuo Tanzania amesema baadhi ya vituo vinavyokusanya watoto hao kwa manufaa binafsi ametoa wito kwa Viongozi wa dini, wadau mbalimbali na Serikali kujenga tabia ya kusaidia watoto hao wanaoishi katika Mazingira magumu na Yatima ili nao waweze kuwa na maisha bora ya kumpendeza Mungu

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List