Serikali imeshauriwa kuanza kuvifuatilia kwa ukaribu na vituo vya Watoto Yatima na vile vya kulelea wanaoishi katika Mazingira magumu kwa madai kuwa msingi ya haki na maadili mema imekuwa ikikiukwa na baadhi ya walezi na wamiliki wa vituo hivyo. Akizumza wakati wa Tamasha la kuchangia watoto wenye mahitaji maalumu wa Shirika lisilo la Kiserikali la WDF, Baba Askofu Nabii Paulo Bendera wa Kanisa la Ufunuo Tanzania amesema baadhi ya vituo vinavyokusanya watoto hao kwa manufaa binafsi ametoa wito kwa Viongozi wa dini, wadau mbalimbali na Serikali kujenga tabia ya kusaidia watoto hao wanaoishi katika Mazingira magumu na Yatima ili nao waweze kuwa na maisha bora ya kumpendeza Mungu
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni