Baba Askofu Mkuu Nabii Paulo Bendera wa Kanisa la Ufunuo akitowa huduma ya Utumishi Wa Mungu kwa Watu wenye Shida Mbalimbali huduma hiyo Akitowa katika Kanisa la Ufunuo Kimara lililopo jijini Dar es salaam. Baba Nabii Bendera amewataka Jamii nchini pamoja na Walezi watumie muda mwingi kukaa na Watoto wao waweze kuwafunza neno la Mungu ili waweze kuwa na maadiri mema ya kumpendeza mwenyezi Mungu matatizo ya utumiaji wa dawa za kulevya. bangi. Ushoga. Usagaji pamoja na ngono zembe kukataza taifa liwe na Vijana Imara wenye hofu ya Mungu
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni