Tatizo la ukosefu wa Gari la kubebea Wagonjwa katika Zahanati ya Kimbiji iliyopo Kigamboni Jijini Dar es salaam, imetajwa Kuwa ni chanzo cha baadhi ya kina mama Wajawazito wakijifungua huku wakiwa katika hatari ya kupoteza maisha yao pamoja na Watoto, Wakati wa kupewa rufaa ya kwenda katika Hospitali ya Wilaya na kukutana na changamoto ya kutakuwepo kwa gari la kubeba wagonjwa na wakati mwingine vifo utokea. Hayo yamebainishwa katika kikao cha baraza la Madiwani wa Halmashauri ya Temeke Jijini Dar es salaam
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni