Wafanyabiashara ndogo ndogo Maalufu kwa jina la Wamachinga eneo la Kariakoo Jijini Dar es salaam wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dr John Pombe Magufuli kwa uamuzi wake wa kuwatengea maeneo ya kufanyiya biashara zao mjini kwa utaratibu maalum. Mkuu wa Wilaya ya Ilala Sophia Mjema amefanya ziara ya kutembelea maeneo yaliyotengwa mtaa Nyamwezi, Uswahili, Sikuu na Kongo ziara hiyo alifatana na Viongozi mbalimbali pamoja na Wamachinga Wafanyabiashara
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni