Imeelezwa kukosekana kwa Vifaa vya kuhifadhia taka kwenye Soko la Feri na maeneo jirani kumesababisha kuongezeka kwa Uchafu wa Mazingira pamoja kuhatarisha Usalama wa afya kwa walaji wa Samaki. Mbunge wa Kigamboni Faustine Ndungulile amesema wametenga eneo la kuhifadhia taka ili kuzuia milipuko wa magonjwa mbalimbali. Naye Mkuru wa Wilaya ya Kigamboni Hashimu Mgandiwana amewataka Wananchi wawe na utaratibu mzuri wa kuyatunza Mazingira
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni