Jeshi la Polisi Wilaya ya Temeke jijini Dar es salaam wamekabidhiwa Vibanda vitakavyowasaidia kujikinga na Jua na Mvua wanapokuwa kazini na kupunguza matukio ya kunyanganywa Silaha na matukio mbalimbali. Kamishina Msaidizi Mwanandamizi na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Temeke Gilles Muroto amepokea Vibanda 20 kutoka Kiwanda cha Mabati Dragon kilichopo mjini Dar es salaam amesema Askari Polisi watafanya kazi zao kwa uwadilifu Meneja wa Masoko Kiwanda cha Mabati ya Dragon Andrew Sun wametowa msaada huo wanatambua kazi ngumu wanayofanya Askari Polisi wanapokuwa kazini
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni